SHEBBY LOVE: Mzee wa BAIKOKO, Hizi ndo sababu za Ukimya wangi..
SHEBBY LOVE Mzee wa BAIKOKO
SHEBBY LOVE Mzee wa BAIKOKO
" Now nipo jikon najiandaa kwa ngoma mpya hadi tareh 20 mwez wa 8 itakuwa nishajua ratiba inatoka Lini, Na bado najipanga vizuri stak kufeli, Baikoko imenifanya niogope kutoa kazi bila kujipanga coz tangu nianze kubajet kuhusu nyimbo majibu yametiki nilipoi toa hii nyimbo ya baikoko niliemshirikisha becka title imekuwa nyimbo kubwa Sana so najipanga mashabiki wangu wakae mkao mzuri kupokea vitu vizuri zaidi" Shebby Love alimalizia hiyo
BONYEZA LINK HAPO CHINI UJIONE
VIDEO YA BAIKOKO
Hakuna maoni