Ubunge Viti Maalum: Wakati Wema Sepetu Analia, Mwanamuzki Albino Keisha Anacheka


Msanii Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi ameshida kura za maoni ubunge viti maalum Dodoma, wakati Keisha akicheka msanii Wema Sepetu ameangukia pua uko Singida, kwa kukosa nafasi kama hiyo.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.