Umeisikia mipango ya Irene Uwoya kwenye Ubunge 2015? Msikilize hapa… #Uheard (Audio)


uwoya

Tuna List kubwa ya mastaa Tz ambao wamejitokea kutangaza nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika Oktoba.
Leo Soudy Brown amepiga stori na Irene Uwoya ambaye anautaka Ubunge kupitia UVCCM Tabora..mwenyewe amefunguka na kusema nia anayo na uwezo wa kuwaongoza vijana wenzake anao.
uwoya tuu
Irene Uwoya akiwa katika vazi la CCM
Amesema vipaumbele vyake ni vingi hasa kwa vijana na anataka kuona vijana wanafika mbali katika nyanja mbalimbali.
Msikilize hapa akipiga stori na Soudy Brown.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.