Wema Sepetu Alivyopokelewa Kwa kishindo Baada ya kukusa Ubunge Viti Maalum

Wema Sepetu alikuwa miongoni mwa watu wanaogombea Ubunge viti maalumu mkoani Singida lakini matokeo yalivyotoka hakupata ushindi kutokana na uchache wa kura lakini pamoja na hayo mashabiki wake walimuunga mkono kwa kuthubutu kwake na kumfanyia mapokezi haya Dar es salaam.
Staa huyo aliibuka na kupata kura za maoni za ubunge 90 huku wagombea wenza wakiongoza kwa kura za maoni, Asharose Mattembe (311), Martha Mlata ( 235) na Diana Chilolo (182).
.


.
.


.
Mashabiki wa Wema Sepetu .


3X6A7369
Ni miongoni mwa michezo iliyokuwa ikitawala leo July 26 mchana kwenye mapokezi hayo .


.
.


.
.


3X6A7584
Mtu wangu hii ni michezo iliyokuwa ikitawala leo July 26 katika mapokezi hayo.


3X6A7665
.


3X6A7683
.


3X6A7703
.


3X6A7714
Wema akipiga picha na shabiki.


3X6A7742
.



3X6A7756
.


.
Petiman akipiga picha aina ya selfie na mashabiki.

.

.
Wema Sepetu akizungumza na mashabiki baada ya kutoka safarini.
.
.
.
.
3X6A7554
.
.
.
3X6A7652
.
3X6A7662
Wema Sepetu akipiga picha aina ya selfie na mashabiki zake.
3X6A7676
.
3X6A7679
.
3X6A7701
.
3X6A7710
.
3X6A7761
.
3X6A7768
Mashabiki.
3X6A7280
.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.