Davido akanusha uvumi wa kuwa na mwanamke mwingine,sijachepuka.


davido
Mwimbaji wa muziki kutoka Nigeria Davido ambaye miezi michache iliyopita alipata mtoto amesema hana mahusiano yeyote kwa sasa na wanawake wanaoandikwa kuwa naye na vyombo vya habari viache kusambaza uongo.
Davido amehusishwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke aliyefahamika kama Sira Kante ni raia wa Guinea anayeishi Marekani.
Davido amesema  “mwanamke mmoja tu kwenye maisha yangu ni mtoto wangu kwa sasa “.
Sira-Davido
shit

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.