Maneno ya Keisha kwa kibaka aliyemuibia simu!! yako hapa kwa Soudy Brown…
Leo Soudy Brown kapiga Stori nae na kuzunguzia masikitikio yake ya kuibiwa simu yenye thamani ya milioni 1 na kibaka wakati akizungumza na rafiki yake maeneo ya Kigogo.
Amesema ni bora aliyechukua simu yake akamrudishia kwa sababu ataifuatilia mpaka ahakikishe anaipata.
Hakuna maoni