Msafara wa LOWASA kuchukua fom ya urais CHADEMA

Hii ni wakati Edward Lowassa alipochukua fomu ya kugombea Urais kupitia CHADEMA ambapo wafuasi wa chama hicho walimsindikiza kwa msafara kutokea makao makuu ya CHADEMA Kinondoni mpaka ofisini kwake Mikocheni Dar es salaam, zaidi jionee mwenyewe ilivyokua kwenye hii video hapa chini.

CHECK VIDEO YA MSAFARA WA LOWASA
                             

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.