Timaya na ubakaji, mchumba wake kaonyesha mtoto wao.



IMG_2747
Baada ya mwanamke aliyefahamika kama Shella B kusema kuwa amebakwa na msanii  Timaya walivyokutana nchini Marekani, mama watoto wa Timaya ajibu tuhuma hizo kwa post ya instagram.
Shella B alisema Timaya amembaka walivyokutana Marekani ila Timaya alikanusha tuhuma hizo nakusema  ” Ni kweli walikutana na kufanya tendo la ndoa ila hajambaka, na Shella B aliomba waende naye kwenye show kama wapenzi ila Timaya alikata na kusema yupo kikazi zaidi kwenye mjii huo ” .
Mama watoto wawili wa Timaya aliandika hivi Instagram na ujumbe wake uliambatana na picha ya mtoto wao mchanga .
Even when the devil tries to steal my happiness your smiles sunshine makes life more beautiful…..Happy Sunday ya all?”
 IMG_2749

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.