Kim Kardashian awapa ushauri twitter ‘ingekuwa powa pangekuwa na chaguo la kuedit twit’ alijibiwa hivi.
Mwanamitindo na Tv Personality toka Pande
Za Los Angeles California Kim Kardashian amefunguka na Kusema anataka
awasaidie watengeneaji wa mtandao wa Twitter ilikuboresha mtandao wao
Kim alisema ” Nataka kuwashauri waweke sehemu ya EDIT Ili ukikosea
kutweet [Miss Speell] uweze kurekebisha bila kufuta twit yako” .
Pia Nusu Saa Baadae Twitter walimjibu nakusema “Ni wazo Zuri watalifanyia kazi.. “greatidea! We’re always looking at ways to make things faster and easier” .
Hakuna maoni