Kutoka muziki wa TAARAB mpaka BONGO FLEVA je atawezaaa......!!


 
  Mossy Suleman
Msanii wa taarabu Mossy Suleman ameamua kuingia katika bongo fleva na kusema kwamba yeye nibora na anaweza kucheza kote hisipokuwa kwa sasa ameamua kufanya nyimbo kali yenye msisimko mkumbwa kwa watu na wapenzi wake wa taharabu
 Pia amesema kwamba kwamba nyimbo hiyo amefanya kwa hisia kubwa akiwa na mwalimu wake wamuziki wa bongo fleve uncle Some,nakusema sijawahi kuona mimi pia nyimbo hiyo inakwendwa kwa jina la mazoea akiwa mtumzi uncle some nakuamua kufanya naye kazi kwa sababu  Uncle Some uwa abahatishi katika utungaji,
                                 
 Uncle Some & Mossy Suleiman
Analipi lakusema katika muziki wake wa taharabu kiukweli mimi mossi suleman niwaambie tu kuwa sitowaacha na sitowaangusha cha msingi mnipokee kama mlivyo nipokea katika taarabu,

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.