UNCONFIRMED: Lowasa Kuondoka na Kundi Lake na Kugombea Uraisi Kupitia ACT


Habari katika kambi ya Lowasa wakishirikiana na Zitto wanamshawishi ndugu Edward Lowasa kuhamia ACT na kundi lake na kugombea urais kupitia chama hicho.

wanaamini kuwa anawafuasi wengi na akikosa mwaka huu hatopata nafasi nyingine tena maiashani mwake kwa ushawishi alionao ndani ya jamii

More updates will follow

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.