Breaking News | International News | Political | Business | Sports | Games | Entertainments | Global Music | East Afrika | Bongo Flavour | Bongo Movie | Udaku wa Social Media
Home/
Unlabelled
/UNCONFIRMED: Lowasa Kuondoka na Kundi Lake na Kugombea Uraisi Kupitia ACT
UNCONFIRMED: Lowasa Kuondoka na Kundi Lake na Kugombea Uraisi Kupitia ACT
Habari katika kambi ya Lowasa wakishirikiana na Zitto wanamshawishi
ndugu Edward Lowasa kuhamia ACT na kundi lake na kugombea urais kupitia
chama hicho.
wanaamini kuwa anawafuasi wengi na akikosa mwaka huu hatopata nafasi
nyingine tena maiashani mwake kwa ushawishi alionao ndani ya jamii
Hakuna maoni