Rais Kikwete kathibitisha majina matano ya Wagombea Urai CCM
Pichaz zilianza kusambaa mitandaoni, baadae ikaja stori kuhusu Wagombea walioteuliwa kwenye Urais kupitia CCM.
Muda unavyozidi kwenda ukweli wa hii stori unachukua nafasi zaidi, kwenye ukurasa wa @Twitter wa Rais JK kathibitisha majina haya matano kupitishwa na Kamati Kuu ya CCM Dodoma.
“Kamati
Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni: Bernard Membe
John Magufuli Asha Rose Migiro Januari Makamba Amina S. Ali“– @jmkikwete
Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano
ya awali ni: Bernard Membe John Magufuli Asha Rose Migiro Januari
Makamba Amina S. Ali
— Jakaya Kikwete (@jmkikwete) July 11, 2015
Hakuna maoni