Producer Manecky Amezungumzia Beef yake na Diamond Platnumz.

ManeckyKwa miaka isiyozidi miwili hakukuwa na amani kati ya Producer wa AM Records Manecky na mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz na ni baada ya Manecky kushutumiwa kuvujisha nyimbo za Diamond ambazo hazijakamilika.
Kwenye hii video hapa chini utapata kila kitu jinsi ilivyomalizwa hiyo beef

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.