Z ANTON NA BONGO MOVE

anton
Z Anton



Hitmaker wa ‘Binti Kiziwi’ Z Anton amekuwa akipost picha yupo location.. mwenyewe amefunguka na kusema kuna kazi amefanya na mastaa wengi wa filamu na itaingia sokoni wakati wowote..amesema  hiyo ni filamu yake ya kwanza kuanza kuonekena…mpaka sasa amefanya tatu lakini mbili bado hazijatoka.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.