Rais Obama hayuko mbali...Nairobi Hapatoshi, hizi ndio dalili… (Pichaz)

2015-07-12T070439Z_912071196_GF10000156697_RTRMADP_3_MEXICO-GUZMAN - Copy
Ndege kubwa ya Kijeshi ikiwa Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta, Nairobi Kenya.
Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta umekuwa busy sana zaidi hata ya ambavyo ulikuwa siku za nyuma.. unaambiwa kila siku hakukosekani stori kutoka Nairobi Kenya kuhusu ugeni wa Rais Obama.
air1
Usalama kwanza, YES.. Marekani hawana utani kabisa na Usalama wa Rais wao, zinashuka ndege kila siku pamoja na makundi ya watu wa Usalama ili kuhakikisha mpaka Rais Obama anatua hali inakuwa shwari japo kumekuwa na mashambulio mengi sana yanayohusiana na matukio ya Ugaidi.
Imetua ndege kubwa ya Kijeshi na vifaa vingine vingi zaidi.
air2
Msafara wa gari zilizoshushwa kwenye ndege hiyo.
air3
Kwa mbali unaonekana msafara wa gari kutoka Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.