Kambi ya Lowassa Yameguka, Sophia Simba na Nchimbi Kumuunga Mkono Dr. Magufuli


Sophia Simba: Ameamua kumuunga mkono Dr Magufuli: Msimso huo umetolewa na Amina Makilagi

Wameandaa hafla ya kumpongeza mgombea mwenza Samia Suluhu

Mh Nchimbi: Yeye alitoa pongezi kwenye ukurasa wake wa facebook, kumuunga mkono.

Aliyegoma kumuunga mkono ni kimbisa ambaye alikuwa kwnye mashauriano na Mh Lowassa.

Kumbe wote hawa walikuwa wachumia

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.