Entertainment Diamond aungana na wasanii wa Afrika kwenye press conference ya MTV Base By Edwin TZA on July 18, 2015 624 shares Share Tweet Share Share
.
.
Ni july 17 ambapo Diamond Platnumz,
Neyo, Jhene, Bucie, P Square na wasanii wengine waliungana na MTV Base
kwenye mkutano wa waandishi wa habari kutoka media mbalimbali
uliofanyika Durban Afrika Kusini.
Hapa nimekuwekea picha kadhaa ushuhudie jinsi wasanii mbalimbali wakiwa katika mkutano huo wa waandishi wa habari.
.
Nomuzi Mabena mtangazaji wa MTV Base .
Mchekeshaji na muigizaji wa Marekani,Anthony Anderson atakuwa host kwenye utoaji wa tuzo za MTV base
Anthony Anderson.
Jhene Aiko (kulia) akijibu swali kwenye press conference.
.
Jhene Aiko akiwa kwenye press conference.
.
Neyo.
Neyo akijibu swali la mwandishi leo kwenye Press Conference.
Neyo.
.
.
Waandishi wa Habari kutoka media tofauti tofauti.
.
Makamu mkuu wa Rais wa MTV Africa, Alex Okos (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari.
Mtangazaji wa MTV Base, Nomuzi Mabena akitambulisha rasmi tuzo ya MTV Base itakayotolewa .
Huu ndio muonekana wa tuzo ya MTV Base.
K.O.
Msanii wa kike kutoka Afrika Kusini, Bucie.
Cassper Nyovest.
Rapper kutokea Africa Kusini, Cassper Nyovest.
Rapper wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest.
Masta Just.
.
Yemi Alade.
Yemi Alade.
.
Peter wa psquare.
D’Banj.
.
Diamond Platnumz.
Diamond Platnumz.
.
Add caption |
Diamond Platnumz akiwa kwenye Redcarpet.
Diamond Platnumz akiwa na mashabiki.
Diamond Platnumz akiingia kwenye gari baada ya kumaliza press conference.
.
Diamond Platnumz akiwa kwenye gari.
Diamond Platnumz akiteta jambo na meneja wake Salam.
Hakuna maoni