DIAMOND PLATNUMZ Alewa Sifa na Kutukana Hadharani...


 Baada tu ya Kuchukia Tuzo ya MTV Mama Katika Kipengele cha Mtumbuizaji Bora Africa Diamond  Platnumz Alipiga Picha hiyo hapo juu akiwa na Uongozi wake, Pichi hii imeleta Hisia Tofauti kwa Mashabiki wake Huku Wengine Wakisema Hiyo ni Ishara ya kutukana.......
Je wewe Una maoni gani juu ya Alama hiyo ya Kidole cha Kati ?

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.