Davido kamtaja msanii mwingine anaefanya nae kolabo Tanzania

.
.
Davido ni msanii wa Nigeria ambaye jina lake lilizidi kutajwa sana Tanzania baada ya kufanya kolabo ya ‘number one rmx’ na Diamond Platnumz.
Sasa July 18 2015 kwenye Exclusive interview na AyoTV Durban South Africa Davido kamtaja msanii mwingine wa Tanzania anaefanya nae kolabo hivi karibuni.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.