WADONTOWN StArS: Wanajipanga Kurudi tena Kwenye GAME... Wakali wa ABARUMBA

 
Msemaji & Kiongozi wa kundi hilo EMZONA a.k.a (Emzonaclassic) la muziki wa kizazi kipya amezungumza na KAZIKAZI leo hii na kutoa siri hiyo kuwa wamejipanga sana n wanamalizia RECORDING zao... Then kazi zao zitasikika tena kwa speed zaidi ya mwanzoni walipoanza kama kundi la music.
Akamalizia kusema anawapenda sana mashabiki zake wanao wa surpot.

 

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.