Steve Nyerere, Mkubwa Fella wamechukua fomu zao, Wema Sepetu je? Mcheki hapa..(Pichaz)

Wema Sepetu, pembeni yuko Petitman, Mirror, Jordan na watu wake wengine

mail.google.com ii

Leo July 16 2015 Staa wa Bongo Movie, Steve Nyerere amefika Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni na kuchukua Fomu za Kugombea Ubunge, hakutaka kukawiza mambo, kachukua fomu mchana na kurudisha leoleo.
Wema Sepetu je? Si alitangaza kwamba anautaka Ubunge wa Viti Maalum Singinda !!
mail.google.com
Zimenifikia hizi picha mtu wangu, Wema Sepetu na watu wake wamefika Ofisi za CCM na kuchukua fomu pia.

mail.google.comiv
Wema Sepetu na Petitman.
mail.google.comv

photo 1

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.