Mange Kimambi 'Nagombea Ubunge Jimbo la Kinondoni kwa Ticket ya CCM ..Sio Viti Maalum' Kinondoni Bila Madawa ya Kulevya Inawezekana


Nagombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa ticket ya CCM. Yes jimbo sio Viti Maalum, Kwanini Kinondoni, nitafanya nini Kinondoni ? Zama kwenye blog yangu kwa majibu yote. Misukosuko ni mingi naipata lakini tukumbuke hakuna zuri linalopatikana kirahisi. Kinondoni bila madawa ya kulevya inawezekana. Ukiwa kama rafiki, fan au mzalendo naomba unidhamini kwa mchango wako wa hali na mali, kupitia mpesa 0764 484700 imesajiliwa kwa jina la Mange Kimambi Kama uko nje ya nchi unaweza kutumia www.gofundme.com/ycwfdc . Pia unaweza kutumia pay pal: mybongolicious@gmail.com .
Pia unaweza kutumia western union au money gram kwenda kwa Mange John Kimambi , Dar Es Salaam, Tz. Account ya bank crdb iko kwa blog. Please kasome profile yangu kwenye blog yangu uelewe kwanini nimeamua kugombea jimbo la Kinondoni.....Utanielewa zaidi. www.u-turn.co.tz .

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.