Fid Q kufanya collabo na 2Face?


Farid Kubanda maarufu kama Fd Q atafanya collabo na 2face baada ya kushiriki coke Studio….amesema alishawhi kukutana nae backstage na akamwambia anapenda jinsi anavyofanya shoo,,,pia alikutana nae S.Afrika.. kifupi amesema ni mtu aneyemfahamu na kuwasiliana naye sana.
fid q
Farid Kubanda a.k.a Fid q
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda, alitoa dili kwa watu wenye elimu Wilayani kwake ambao hawana kazi akiwaahidi kuwapatia kazi…makampuni mbalimbali, wafanyabiashara wamemekubali kutoa kazi baada ya kupata taarifa ya vijana hao.
Makonda amesema atakua mdhamini wa vijana wanaotafuta ajira,,,mpaka sasa tayari amepata ajira 57 za vijana ambao walikua wakikaa bure mitaani.
makoda
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda
Said Fella amefafanua sababu za kugombea udiwani kata ya Kilungule badala ya Ubunge…amesema lazima aanzie level za chini..hataki kukimbilia juu kwani anataka kuanzia chini..anaamini atafika mbali ili wanachi wajue anataka kuwafanyia nini.
fela
Said Fella

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.