KING CHIWA NDANI YA BONGO FLEVA NA ADAM MCHOMVU PAMOJA NA EMMA THE BOY...CLOUDS RADIO JANA
Msanii wa kizazi kipya miondoko ya ragga, Jana alitembelea studio za CLOUDS FM kwa Interview na kuachia audio yake mpya ya ngama inayokwenda kwa jina la LOVER LOVER.
Ni moja ya ngoma zilizopata comment nyingi sana ambazo zilimfanya KING CHIWA Kuto shukrani sana kwa mashabiki wake pande zote...
Adam Mchomvu alimalizia kumchana KING CHIWA, kuwa ngoma yake wanaipenda sana wadaa wazuri.
Ni moja ya ngoma zilizopata comment nyingi sana ambazo zilimfanya KING CHIWA Kuto shukrani sana kwa mashabiki wake pande zote...
Adam Mchomvu alimalizia kumchana KING CHIWA, kuwa ngoma yake wanaipenda sana wadaa wazuri.
Emma The Boy Akimpiga swali KING CHIWA
Hakuna maoni