Hapa Ronaldo pale Neymar kwenye style tofauti za nywele zao zilizowahi kuvutia wengi… Pichaz)

ronh2



vs

Ukizungumzia Ligi ya Hispania wapo nyota wakubwa ambao wanapendwa zaidi na mashabiki wa soka duniani, sio tu kwa ukali wao kwenye soka wao uwanjani bali pia wamekuwa midomoni mwa mashabiki wao mara kwa mara kutokana na mvuto wao.
Ukimzungumzia Cristiano Ronaldo ni kati ya wachezaji wanaopamba zaidi Ligi ya Hispania kutokana na kiwango chake pia huwavutia wengi kwa uvaaji na hata staili ya nywele zake.
Mbali ya Ronaldo yuko pia mkali Raia wa Brazil, Neymar Da Silva Santos ambae nae amekuwa gumzo kwa mashabiki wake si tu kwa uwezo wake uwanjani bali katika suala zima la mavazi na staili ya nywele zake ambazo haoni kama kuna tatizo lolote yeye kutumia sehemu ya pesa zake nyingi kuzihudumia.
1: Hapa naanza na Cristiano Ronaldo na style mbalimbali za nywele ambazo aliwahi kuwa nazo zikawa kivutio kwa wengi.
ronh3


ronh

ronh5

do


2. Hapa namalizia na pichaz za Neymaar kwenye style mbalimbali za nywele ambazo aliwahi kuwa nazo zikavutia pia.
hairdo

nay4

nayh2

nayh6

CAMPEONATO PAULISTA/PAULISTÃO 2012 - TREINO DO SANTOS FC - Neymar, jogador do Santos FC, durante treino para a partida contra o Mogi Mirim, válida pela décima terceira rodada do Campeonato Paulista 2012 - CT Rei Pelé - Santos - SP - Brasil - 09/03/2012 - Foto: Ricardo Saibun/Gazeta Press

Kati ya hawa nani kakuvutia zaidi mtu wangu?

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.