Ali Kiba azungumzia Collabo na Neyo,Ikitoka itachezwa kwenye radio na tv kama kawaida.
Ali Kiba amethibitisha ujio wa collabo na Neyo na kusema ” Ni
project ya coke studio, tutarekodi wimbo na video na zote zitaweza
kuchezwa kwenye radio na tv baada ya kufanyia show coke studio ” .
Ali Kiba pia amefanya wimbo na Sauti Sol na Davido.
Hakuna maoni