Fid Q na washindi wa Talent Search, mikakati ya Chemical, StanBakora na Batuli wana uhusiano?..(255 Audio)
Kwenye zile stori za 255 leo kasikika Fid Q kuhusu mashindano ya Talent Search, anasema
mara nyingi hakuna mshindi kwa upande wa Rap kutokana na wengi
kushindwa kujitokeza ingawa vipaji vipo vingi.. amesema pia wadau wa
mashindano hayo waangalie jinsi ya kuwapa kipaumbele wasanii wa kurap.
Fid Q
Chemical
Stan Bakora
Hakuna maoni