Kinachoendelea Uwanja wa Taifa, Simba vs URA vikosi vipo hapa

August 15 klabu ya Simba Sports inarudi uwanjani kucheza mechi yake ya pili ya kirafiki ya kimataifa ambayo safari hii inacheza na klabu inayomilikiwa na mamlaka ya mapato ya Uganda (URA), katika mchezo huu Simba inasemekana itachezesha vikosi viwili hili kuangalia wachezaji wake wote.
Nimekusogezea picha ya timu zikipasha misuli moto kabla ya mechi kuanza.
DSC_0030

DSC_0026

DSC_0029

DSC_0013


URA ya Uganda ikipasha misuli moto
DSC_0021

DSC_0020

DSC_0019

DSC_0017


Hali ilivyo kwa upande wa mashabiki
DSC_0039

DSC_0038

DSC_0036

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.