XXL ya Clouds FM yawapatanisha Q Chillah na TID, ‘no beef’ tena… Full interview iko hapa.. (Audio)
chiiiKwenye interview ya kukumbuka album zilizopita kwenye XXL ya Clouds FM August 13 waliwaita Q Chief na TID, yamezungumzwa mengi sana kwenye interview hii ikiwemo album nyingine itakayotoka itakayowaunganisha Q Chief na TID, Nimekurekodia interview yote mtu wangu.
Bonyeza play kusikiliza interview yote.
Hakuna maoni