Baada ya sauti ya Mziwanda akimtongoza Wema Sepetu, Shilole kayaandika haya


Shihi

Nakukutanisha na msanii wa bongofleva Shilole ambaye aliingia kwenye headlines baada ya boyfriend wake msanii Nuh Mziwanda kunaswa kwa sauti akimtongoza mwigizaji Wema Sepetu.
Ilionekana kama baada ya kusambaa hadharani kwa sauti hiyo kungefanya mapenzi yao yayumbe au waachane lakini imekua tofauti na matarajio kwani Shilole alithibitisha kuendelea kwao pamoja kwa kupost hiyo picha hapo juu na kuandika Mi siachani nawe na ntakupenda zaidi’

Shihi 2



Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.