Wolper kaweka hii picha ya Diamond na Kiba waliyopigwa jana na kuyaandika

wasanii 3
Jackline Wolper ni mwigizaji kutoka bongo movie ambaye August 6 2015 alipost picha ya Ali Kiba na Diamond wakionekana pamoja kwenye foleni ya chakula kwenye party iliyofanyika ya kumuaga Rais Kikwete Mlimani City Dar es salaam.
Wasanii 

Baada ya kuiweka hiyo picha hapo juu aliandika >>>Sasa nyie endeleeni kugombanisha watu wanaojuana namsiojua walipotoka haya sasa mwanzo ndo ule kati mlizusha mwisho mnapajua???? waacheni jamani…. Mungu atapanga mwenyewe watag namuonge chochote chenye kujenga syo kubomoa # one love ‘

wasanii 2PAPO KWA PAPO

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.