Sauti ya Nuh Mziwanda akiongea na Wema Sepetu imetengenezwa? mwenyewe kazungumza..#UHeard (Audio)
Nuh amezungumza na Soudy Brown na kusema iyo sauti ni watu wanatafuta wameamua kuitengenzea kwa masilahi yao wenyewe na si yeye kama inayodaiwa, amesema hakuna kitu kama hicho, na hataki kuongelea sana mambo hayo.
Amesema imemuharibia sana na hata simu yake kuvunjwa na Shilole pia, nguvu ya kufanya kazi kwake imepungua..na anaamini watu waliofanya hivyo ni anaokutana nao na kuchekea nao kila siku.
Msikilize mwenyewe akizungumza na Soudy Brown hapa…
Hakuna maoni