Rapa wa Nigeria Vic O anasema alikosa nafasi ya kufanya collabo na Jay Z.



vic-o
Rapa wa Nigeria Vic O anasema alikosa nafasi ya kufanya collabo na Jay Z.
Vic O ambaye hivi karibuni alisema anaweza kubattle kwenye rap na Drake na akamshinda amesema  alikamilisha mipango ya kufanya wimbo na  Jay Z ila ilishindikana baada ya kupoteza simu na dairy iliyokuwa na mawasiliano ya Jay Z, Dah huyu jamaa bana.
Haya ndio maneno yakeThere was a collabo that was supposed to take place, ” Vic O revealed, “…with Jay Z, but what happened was that I lost my contact, my diary, my phone..”.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.