Nisha: Natamani Kuzaa Tena Ila….

Staa wa Bongo Movies , Salma Jabu ‘Nisha’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja kiutani utani  amefunguka kutamani kuzaa ila anahitaji ushauri azae na nani.

Nisha ambaye kwa sasa yupo nchini China, alitanhaza nia yake hiyo kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.

"Mwaka huu mastaa wengi wamezaa  na mimi nimetamani kuzaa tena dah.. lakini wakuzaa naye sasa nanii ...  sponsor ana mkewe
gandalandizi?? atanifilisi...

Pls nishaurini jamaniii nna hamu kweliii...Niolewe na kuzaa na sponsor anipe kila nnachotaka Ila kulala kwa mkewe,au kaserengeti boy nimpe kila anachotaka nikifulia atoke nduki??".

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.