Nimeyapata matokeo ya uchaguzi wa Wabunge Bumbuli #CCM

print 


Headlines za sasa nyingi zimeelekea kwenye siasa ambapo Tanzania mwezi October itakua ni muda wa Watanzania wote kuwapigia kura wagombea ambao wanaona wanafaa.

bumbuli 
January Yusuph Makamba amepata kura 17,805 halafu mgombea mwingine ni Abdulkadir Abdi Mgheni yeye amepata kura 2,403,Abubakar Juma Mshihiri yeye amepata kura 205 na Yusuph Juma Shekwavi amepata kura 69.



Yamenifikia matokeo ya uchaguzi wa Wabunge kupitia Chama Cha Mapinduzi jimbo la Bumbuli,ambazo zimetolewa na Ramadhan Mahanyu Mkurugenzi wa Uchaguzi wilaya ya Lushoto.
Nimeambiwa pia kura zilizopigwa ni 20,522 kati ya hizo 40 ziliharibika na 20,482 ni kura halali.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.