Breaking News:Profesa Lipumba Kashindwa Kuvumilia, Haya Ndio Maamuzi yake Magumu

August 06 2015 nimeipata taarifa rasmi kutoka kwenye Kikao ambacho Prof. Lipumba amekifanya Dar, ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama hicho.
Kunani?
Hakuna maoni