Taarifa kutoka kwa Soudy Brown, baada ya Wema kulala Hotelini na alichokiacha ndani ya Chumba hicho…


May 5 2016 Soudy Brown amekutana na taarifa ya staa kutoka kiwanda cha filamu nchini Tanzania Wema Sepetu kukutana na hizi tuhuma za kuacha Chumba alicholala kwenye Hoteli katika hali isiyo salama, kama hukupata time ya kuisikiliza hii usijali nimerecord Full stori na utaipata hapa millardayo.com.
>>>’Kusema ukweli taarifa hizo mimi kama meneja wa Wema Sepetu sina halafu kwa mimi ninachojua ni kuwa haiwezekani hotel wakatoa taarifa ya mteja wao‘:- Martin Kadinda Meneja wa Wema Sepetu
BONYEZA PLAY KUSIKILIZA FULL STORI PIA USISAHAU KUNIACHIA COMMENT YAKO …

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.