Sentensi zilizotoka kwa Snura baada ya wimbo wake wa ‘Chura’ kusitishwa


Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi hizi hapa zisikupite, millardayo.com imekurekodia stori  zote za May 05 2016  ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya XXL na moja ya Stori hizo ni hii Snura pamoja na Meneja wake HyperMan HK kuomba Radhi kutokana na hatua zilizochukuliwa na Wizara dhidi ya wimbo wa ‘Chura’.
Snura amezungumza haya……….>>>’Kabla ya Serikali kutangaza mimi mwenyewe nilipewa barua kabla kwa hiyo jana waandishi wa habari walivyoitwa mimi nilikuwa najua na leo nilijua nitaongea mimi baada ya Wizara kutoa tamko’
>>>Serikali ilichoamua nikuusitisha wimbo wa Chura na Video yake mpaka nitakapo urekebisha na sio kwamba nimefungiwa kazi zangu zote‘:- Snura 
Kusikiliza stori zote zilizopata airtime bonyeza Play hapa chini….

13117892_470054513204168_2008092379_n(1)

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.