Donald Trump asema Mike Tyson sio mmbakaji.


Mgombea urais nchini Marekani Donald Trump amesema atabaki na msimamo wake wa kumtetea Mike Tyson kuwa hajawahi kumbaka mtu na kwamba sio mmbakaji.
Wampinzani wa Donald Trump wametumia kesi ya ubakaji ya mwaka 1992 ya bongia Mike Tyson ambapo Donald Trump alimtetea mpiganaji huyo.
Donald amejibu kwa kusema “Sababu Mike Tyson amenikubali na kuliweka wazi jambo hilo mitandaoni, basi ishakuwa issue, Sijaonana na Mike kwa miaka mingi sasa ila yeye kafanya hivyo kuonyesha anakubali nachosema
3221D98100000578-0-image-m-54_1457810179930
 tyson

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.