Roma asema bado anasubiri uongozi utakao mfanya aanze kuimba nyimbo za bata.

Msanii wa Hiphop Roma amefunguka kuhusu ujumbe kwenye nyimbo zake na kusema ataendelea kuimba nyimbo hizi mpaka atakapo pata uongozi na utawala utakao badilisha taifa lake na kumfanya aanze kuimba kula bata na starehe.
Roma anasema “Najaribu kutafuta utawala au uongozi utakao nifanya niimbe bata, nikianza kuimba bata inamaana tumeshinda vita, na sasa naimba kula bata na kuimbia baby’s,ila sasa naendelea kushindilia ili nibaki kuwa mwanaharakati hapa Tanzania“.
Roma pia alikata kuweka wazi kuwa amekamatwa na polisi mara ngapi mpaka sasa kutokana na nyimbo zake.
Msikilize Roma Hapa kwa maneno yake mwenyewe.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.