DJ Khaled na mchumba wake wanategemea mtoto wao wa kwanza.
Dj Khaled atakuwa baba kwa mara ya kwanza baad aya kutangaza mchumba wake Nicole Turk ana ujauzito wa miezi mitatu.
Mwaka huu umekuwa mzuri kwa Khaled ambaye kwa sasa ana dili kubwa na lebel ya Epic,na lebel ya Roc Nation ya Jay Z
Mwaka huu umekuwa mzuri kwa Khaled ambaye kwa sasa ana dili kubwa na lebel ya Epic,na lebel ya Roc Nation ya Jay Z
Hakuna maoni