Riyama Afunguka Kutomsamehe Mtu Huyu kwa Kumdhulumu Pesa


MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu Bongo Riyama Ali amelalamikia madalali wa kazi za wasanii kwa kuwa chanzo cha dhuluma kwa wasanii wanaotengeneza filamu, huku wao wakijinufaisha na jasho lao akiongaea na FC Riyama amedai kuwa ametapeliwa kazi yake ya Kajala.

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.