LEAKED: Ngoma mpya ya Harmonize & Raymond ‘Penzi’, unaweza kuisikiliza hapa


Wakati ngoma za ‘Bado’ ya Harmonize ft Diamond inaendelea kufanya vizuri na ‘Kwetu’ ya Raymond inaendelea kufanya vizuri, leo Mei 2 2016 Harmonize na Raymond wameingia kwenye headlines baada ya ngoma yao waliofanya pamoja ya ‘Penzi’ kuvuja, kazikazitz.blogspot.com imeinasa na kukusogezea track hiyo

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.