IGP Mangu: Sina Taarifa Juu ya Agizo la Rais Kumpandisha Cheo Askari

" Bado hajapandishwa cheo kwa sababu sijapewa taarifa hizo na nitakapopewa taarifa atalazimika kwenda kwenye mafunzo kwanza, sisi jeshi la polisi tuna taratibu zetu" alisema IGP Mangu .
Chanzo: Nipashe
Hakuna maoni