Rais Samia Suluhu: Wakuu wa Mikoa hakikisheni mnawapanga upya Wamachinga





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia  Suluhu Hassan   amewataka  Wakuu wa Mikoa  nchini kuwapanga upya wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama machinga bila kutumia nguvu ili wafanye biashara zao kwa kufuata taratibu zilizowekewa .

Amesema hayo  leo  katika hafla ya kuwaapisha viongozi aliowateua  jana tarehe 12 Septemba  katika viwanja vya Ikulu jijini  Dodoma.

“Serikali ilitoa fursa kubwa kwa machinga kufanya biashara za kujipatia kipato kwa uhuru lakini  msitumie fursa  hiyo vibaya na kufanya biashara kiholela ambapo baadhi yao hupanga bidhaa nje ya maduka na kuwazuia wenye maduka kufanya biashara , kitend

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.