Breaking News | International News | Political | Business | Sports | Games | Entertainments | Global Music | East Afrika | Bongo Flavour | Bongo Movie | Udaku wa Social Media
Home/
Unlabelled
/MADEREVA NJOMBE WAGOMA KUTOA MABASI
Madereva wa mabasi wamegoma kutoa mabasi standi kwa kudai kwamba wanapigwa faini kwa ajili ya speed kubwa huku wakidai spidi yao ni ya kawaida ambayo 84 hadi 85 . Hapa ni RPC akiwa amefika kuongea nao kwaajili ya kulimaliza hili tatizo
Hakuna maoni