SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA AFISA MTENDAJI MKUU WA KAMPUNI YA SIGARA TANZANIA (TCC)

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akisalimiana  na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), Ndg. Michael Bahan alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Februari 8, 2022

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), Ndg. Michael Bahan alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Februari 8, 2022

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akiteta jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), Ndg. Michael Bahan (katikati) pamoja na Mkurugenzi  wa mawasiliano kampuni ya Sigara Tanzania , Ndg. Patricia Muhando (kulia) walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Februari 8, 2022

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), Ndg. Michael Bahan (katikati) pamoja na Mkurugenzi  wa mawasiliano kampuni ya Sigara Tanzania, Ndg. Patricia Muhando walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Februari 8, 2022

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.