Mvua yaleta maafa Brazil, 94 wafariki Dunia


Photos: Flooding, landslides kill at least 94 in Brazil - International News

Meya wa mji huo Rubens Bomtempo ameonya kuwa idadi ya vifo inaweza kuongezeka. Idara ya zimamoto na vikosi vya uokoaji vinaendelea na zoezi la kuwatafuta waathirika.

Takriban nyumba 80 zinasemekana kuathiriwa na maporomoko ya udongo na zaidi ya watu 377

Hakuna maoni

Inaendeshwa na Blogger.