Breaking News | International News | Political | Business | Sports | Games | Entertainments | Global Music | East Afrika | Bongo Flavour | Bongo Movie | Udaku wa Social Media
Home/siasa/Freeman Mbowe na Wenzake Wakutwa Na Kesi Ya Kujibu
Freeman Mbowe na Wenzake Wakutwa Na Kesi Ya Kujibu
Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi imemkuta na kesi ya kujibu Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake watatu katika mashitaka matano kati ya 6 ambapo sasa watapaswa kuanza kujitetea.
Hakuna maoni