Master J awaomba wasanii waache kudharau maproducer.
Master J amesema “Sio sawa kumsikia msanii anasema video nimelipia dola elfu thelathini, huku audio katoa laki au laki mbili, hii ni dharau sana, wasanii waache hili jambo”
Jay pia amesema alijaribu kuongea na mameneja wakubwa wa muziki bongo na walikata kuunga mkono harakati hizi wakidai kuna sehemu wanaweza hata kurekodi bure.
Hakuna maoni